RASIMU ya Sera ya Elimu na Mafunzo nchini inapendekeza kuunganisha elimu ya msingi na sekondari ya kawaida ya sasa ili kuunda elimu-msingi itakayotolewa kwa kipindi cha miaka 10 kuanzia mwaka 2018, imefahamika.
Saturday, May 18, 2013
MTWARA YAWA ZZZZZZZZZZ!!!!!!!!!!!!!!!
Hakukuwa na hali yeyote ya uvunjifu wa amani
WALE WANAFUNZI WA CBE WALIOFUMWA WAKIJIUZA, MAJINA YAO HAYA HAPA!!
Wanafunzi wa kike wa chuo kikuu cha Dar es salaam [UDSM],Chuo cha elimu ya biashara [CBE]na chuo cha mamlaka ya Elimu na ufundi stadi [VETA],Dar es salaam ,wamefikishwa katika mahakama ya jiji samora wakidaiwa kufanya biashara ya kuuza mili yao.
TOBAA!! WANAWAKE WAMPA MAKAVU LIVE MCHUMBA WA DR SLAA!!
UMOJA wa wanawake wa chama cha Mapinduzi Mkoani Mbeya(UWT) umemshukia Bi.Josephine Mushumbusi ambaye ni mchumba Katibu Mkuu wa chama cha
Demokrasia na maendeleo CHADEMA kufuatia kauli za udhalilishaji dhidiya Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
AIBUUUUUUUU!! PICHA ZA NUSU UCHI ZA KUNDI LA "ZE KOMEDI' ZAVUJA'
Picha za aibu zinazowaonesha wasanii wa kundi la Ze Komediwakiwa kwenye fukwe moja ya huko Kigamboni zimezua balaa kubwa ......
Friday, May 17, 2013
BALAA GANI HILI!! TID NAYE AGOMA KUSHIRIKI KATIKA SHOW YA LADY JAYDEE
Show ya miaka 13 katika muziki ya Lady Jaydee inazidi kupata pigo baada ya TID kuwa msanii mwingine latest kujitoa kwenye show hiyo.
Moja ya sababu anayosema TID ni kuwa ana mkataba mwingine wa show unaolipa zaidi.. Sababu ya pili ni kuwa hataki kuwa katikati ya ugomvi wowote.
HUSNA MAULID AKANA KUMVULIA NGUO MWANAFA!!
MISS Sinza 2011, Husna Maulid, juzikati ameibuka na kudai kwamba katika maisha yake hajawahi kutoa penzi kwa msanii wa muziki wa Kizazi Kipya, Hamis Mwijuma ‘Mwana FA’.
DIAMOND ATOA SABABU ZINAZOMFANYA AWE MALAYA......
KWA mara ya kwanza nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond' ameacha gumzo London, Uingereza baada ya kueleza sababu za kwa nini ni kiwembe?
MOVIE ALIYOFANYA MAMA KANUMBA KUTOKA LEO

Movie titled “Without Daddy”
HUU NDIO WARAKA WA 'ANTIVIRUS' KWENDA KWA RUGE NA KUSAGA!!
WARAKA NAMBA 1(ZIPO 88) KILA WIKI UTAPATA WARAKA MMOJA
Ni wazi na dhahiri kabisa kesi iliofunguliwa mahakamani dhidi ya Lady JayDee haina maana yoyote isipokuwa ni hofu ya mafisadi wa muziki nchini (Kusaga na Ruge) kwa kuwa waraka wa pili ulikuwa utoke tar 15 may na mwingine tar 17 may mwaka huu wa 2013.
Hapa la kujiuliza ni juu ya interview ya Rugen a kinachoendelea sasa,eti suala limefika mahakamani,kweli Kusaga na Ruge mmeweza kuthibitisha nyie ni mafisadi na mnamuaibisha Rais Kikwete ambaye nina uhakika anajua kuwa nyie ndio kikwazo kikubwa na hata Bungeni alishawahi kuzungumza kuwa alitoa studio na pango kumbe tatizo sio hilo,tujiulize wote kuna nini wanachoficha hadi kumtafutia kesi raia mwema asie na hatia?
Tena anaejitafutia rizki ambayo wao wanapigana nayo kwa kumkandamiza?
Huku wakitumia mabavu wakilindwa na baadhi ya viongozi wa serikali na waandishi ambao majina yao mtayapata kupitia nyaraka zinazokuja (zipo 88) na huu ndio wa kwanza.
Nimesikitika sana na njia pekee ya kuufahamisha umma juu ya ufisadi huu wa Ruge Mutahaba na Joseph Kusaga ni kuyaanika yote ambayo jamii na Viongozi wa Serikali kama mlikuwa hamjui sasa ndio wakati muafaka wa kuwajua watu hawa ambao kila kukicha ni kuimarisha ufisadi wao na kujipendekeza kwa Viongozi sambamba na watoto wao (mtajua mpaka majina yao)
Naanza kupatwa na wasiwasi nikijiuliza, endapo Lady JD angekuwa amegombana na msanii mwenzake mkubwa kama Prof Jay, Ray C au Juma Nature wanasiasa wangeingilia kati? Ni wazi wasingesogea kwa kuwa hakuna maslahi zaidi ya kuingilia mgogoro huu ambao hawataki jamii ijue maovu yao.
Napatwa mashaka jinsi wanasiasa wanavyolivalia njunga jambo binafsi
Kama hili na kulifanya ni la kiserikali basi tafuteni chanzo cha tatizo mjue ni sehemu gani sahihi ya kuanza kutatua kilichopo na sio kukimbilia kuunda vikao ambavyo naamini vimeshaitishwa vingi sana lakini hakuna kilichosaidia.
Wanasiasa badala ya kutafuta sababu zinazofanya wasanii wanalalamika mnakimbilia kutatua mgogoro wa Ruge na JD ili kusuluhisha mambo yasiendelee kuongelewa jamii ijue uovu wa mafisadi hawa.
Haitasaidia kwa sababu wanaojua maovu ya hawa mafisadi Rugen na Kusaga ni wasanii wengi wakubwa na watu wengine binafsi (kumbukeni waraka zipo 88)
Vijana mnaowategemea katika kampeni zenu na mnawaita Taifa la kesho, lakini mnakubali waendelee kukandamizwa na kunyanyasika huku wakizidi kuwaneemesha kina Ruge na Kusaga.
Tatizo mnalijua kaeni na wasanii wote wawaelezee matatizo yao, msikae na wasanii ambao wanaamrishwa na kina Ruge. Sikilizeni kilio cha wasanii wengine pia na itafutwe njia ya kupata maoni ya kila mmoja na kuachana na watu wengine ambao wanaendesha mtandao wa ufisadi chini ya kivuli cha Ruge (Said Fella na Babu Tale) ambao mtapata kujua kila kitu kuhusu ufisadi wao na kinachoendelea (kumbuka waraka zipo 88)
Ruge Mutahaba amekuwa ni tatizo na janga la Kitaifa katika tasnia ya muziki kwa ujumla, amekuwa akiwagawa wasanii kwa kutumia redio Clouds kwa vitisho vya kutopigiwa nyimbo, au kwa danganyio la kufanyiwa promotion mpaka kwenye magazeti endapo tu utakuwa chini ya bawa lake.
Wasanii wamekuwa hawalipwi vizuri ili waendelee kumtegemea fisadi huyu.
Kwani wasanii wote wangekuwa na kipato cha kuweza kusimama imara leo hii kauli kama ya Lady JD ingezungumzwa karibu na kila mwanabongoflava.
Fred Kavishe (fisadi mwingine) ambae anasimamia Kili music awards yuko bega kwa bega na Ruge kudanganya wananchi nani ni bora katika tuzo hizo ili kulinda maslahi yao binafsi.
Na wao huchagua wale wasanii ambao hawana sauti za kudai haki yao ili wawatumie kadri wanavyotaka.Tuzo za Kili ni uozo mtupu.Imefikia wakati basata itoe vibali kwa wadau wengine wa muziki (nako kuna ufisadi)wasio na interest binafsi na wasanii wao, kuendesha hizi shughuli ili kukuza muziki.Kutokuwepo na tuzo zingine kunasababisha ionekane kuwa basata nao wamo kwenye mgao wa mabepari hao wanaoua sanaa ya Tanzania
JINSI RUGE NA KUSAGA WANAVYOTAWALA
Njia anayoitumia Ruge na Kusaga iko wazi, wao wana redio na hapo hapo wana wasanii wao.Hivyo promotion inabidi wafanyie wasanii wao ambao ni waoga ili waweze kuwatumia bila wasanii hao kufanya fyoko fyoko.
Wasanii wengine ambao sio chini ya Clouds kwa kuwa hawana jinsi nyingine ya kupata hela inabidi wainyenyekee Clouds wakiamini ndio njia pekee ya kuwapatia vipato
Huku wakisubiri show moja ya fiesta ya kila mwaka.
Huko katika fiesta kuna wengine wanalipwa mpaka laki tatu na bado katika hiyo ili upangwe kwenye list ya kupanda jukwaani B12 nae lazima akate laki moja yake.
Hapo msanii anabakiwa na nini akirudi nyumbani?
Hivi laki tatu ni nini kwa maisha ya msanii?
Njia pekee ya kuwatawala ni kuwafanya waendelee kuwa maskini.
Leo hii mtangazaji wa redio ana sauti kuliko msanii.
Kwanini redio zingine hazilaumiwi? Ni kwa sababu hazijihusishi moja kwa moja na wasanii.Hilo ni kosa kubwa sana linalofanywa na Clouds au pengine ndio mtazamo wao walioamua kuufuata kwa sababu wanaamini Serikali ipo mikononi mwao.
Maisha na ajira za watoto wa watu ambao wengi hawajasoma wanategemea vipaji, mnayakatili bila huruma
Mwisho tumuombee Lady JD Mahakama imruhusu azungumze yote, kila mtu anataka kusikia sio siri Clouds, Ruge na Kusaga ni nyonya damu.
Mahakama itambue kuwa wanaojua maovu ya Rugen a Kusaga sio Lady JayDee pekee ni wengi mno na kama njia ya kukimbilia mahakamani ndio wameichagua basi ongezeni mahakama kwa kuwa tupo wengi tutakuja kuyaongea kuhusu mafisadi hawa wa Clouds (siku hizi wanaitwa wafu)
Hela ina nguvu hata palipo na haki, JD hajatukana matusi na amekuwa makini katika kutoa kauli zake sasa anashitakiwa kwa kosa gani? Anashitakiwa kwa kudai haki yake. Anaconda wewe songa na sisi tunakuja kizimbani na sasa ndio TANZANIA itawajua Rugen a Kusaga ni kina nani na walianzia wapi,walikuwa wapi,wako wapi na nani wanaoshirikiana nao,JIPANGENI!
SAIDIA KUSAMBAZA NENO..
MDAU
Thursday, May 16, 2013
MSANII WA CAMP MULLA ALIYEWAHI PIGA CHAFU ATIMULIWA NDANI YA KUNDI HILO
Habari zilizosambaa katika mitaa ya area code +254 zinadai kuwa kundi la hip hop lenye mafanikio makubwa nchini Kenya, Camp Mulla limempiga chini first lady na lead singer wa kundi hilo, Miss Karun kutokana na skendo zinazomkabili
MSIGWA AGOMA KUMUOMBA RADHI KINANA NA BADALA YAKE AMEMSHAURI AENDE MAHAKAMANI KAMA ANADHANI ALIONEWA
Mbunge wa jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwaamemtaka katibu mkuu wa chama cha mapinduzi (CCM) Bw Kinana kutosubiri muda wa siku 21 alizozitoa kumfikisha mahakamani na kudai kuwa yupo tayari kwenda mahakamani hata kesho.
Mbunge Msigwa amesema kuwa katika ukweli hatakuwa tayari kumwogopa mtu na kuwa siku zote atasimama katika ukweli katika kupigania maslahi ya Taifa hili.
Mbunge Msigwa amesema kuwa hatua ya katibu mkuu wa CCM kukimbilia katika vyombo vya habari kutishia kumfikisha mahakamani bila yeye mhusika kupelekewa taarifa ni sawa na kumwogopa na hivyo suala la Kinana kwenda Mahakamani si sawa ni kumtishia nyau mtu mzima.
Msigwa alisema Chadema ina mawakili waliojitosheleza na kuwa hawatanyamaza kusema ukweli kwa kuogopa vitisho vyovyote .
Mbunge wa jimbo la Iringa mjini akiwahutubia umati mkubwa wa wananchi wa jimbo hilo leo jioni katika eneo la stendi kuu ya mabasi ya mikoani
POLISI MTWARA IMETOA ONYO KALI KWA WANANCHI KUHUSU VURUGU WALIZOPANGA KUFANYA KESHO
KUPITIA SAFARI REDIO MTWARA,KAMANDA WA POLISI MKOANI MTWARA ALISIKIKA AKITOA TAHADHARI KWA WANANCHI WENYE HASIRA KALI DHIDI YA MUSTAKABALI WA SUALA LA GESI NA NIA YA SERIKALI KWA MAENDELEO YA WATU WA KUSINI...
LICHA YA SERIKALI KUTUMIA GHARAMA NYINGI KUENDESHA KIPINDI CHA BARAGUMU LA MSIMBATI KUPITIA KITUO CHAKE CHA HABARI CHA TBC AMBACHO KATIKA KIPINDI HIKI NI KAMA NYENZO YA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI WA TANZANIA HUSUSANI KUSINI , WANANCHI HAO WAMEONEKANA KUTOELEWA NA KUTOKUBALIANA MOJA KWA MOJA NA SERIKALI....
HUYU NDIE SISTER ' FEKI' RAIA WA KENYA ALIYEKAMATWA KWA UTAPELI IRINGA
Mwanamke - anayejiita Sister Phylis Wanjiru Kamau, raia wa Kitui nchini Kenya akiwa ofisi za kamanda wa jeshi la Polisi mkoa wa Iringa, baada ya kukamatwa.
UJENZI WA KITUO CHA SIKOSELI WAPIGWA JEKI
Mwenyekiti wa Taasisi ya Sikoseli Tanzania, Grace Rubambey (kulia) akisalimiana na mwendesha baiskeli wa masafa marefu, Alan Knight katika hafla ya kuchangisha fedha ya ajili ya kusaidia elimu, afya na matibabu ya wagonjwa wa sikoseli nchini na pia ujenzi wa kituo cha ugonjwa huo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Alan hivi karibuni alishiriki mbio za baiskeli za KM 17,718 kutoka Cairo Misri hadi Cape Town nchini Afrika Kusini kwa ajili hiyo. Hafla hiyo iliyoandaliwa na Taasisi ya Sikoseli Tanzania ilifanyika jijini Dar es Salaam juzi. Wengine ni baadhi ya viongozi wa taasisi hiyo. BREAKING NEWS: LINAH, BARNABA KUTUPIWA VILAGO THT?
Msanii Linah
Barnaba
KUELEKEA shoo maalumu ya Miaka 13, ya mwanamuziki nguli wa bongo fleva nchini na kiongozi wa bendi yenye msisimko mkubwa ya ‘Machozi Band’, Judith Wambura ‘Lady Jay Dee’ au Jide’ huenda kwa upande wa wasanii wa Nyumba ya Vipaji ya THT, Linah Sanga na Barnaba mwaka huu ukawa mchungu kwao kufuatia kuwepo taarifa za kutimuliwa na uongozi wa juu.
MASTER JAY AWAPA ZA USO KILI MUSIC AWARDS!!
MTAYARISHAJI nguli wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joachim Kimario 'Master Jay' amesema amekosa imani na Tuzo za Kilimanjaro Music, kwa kuwa zinalengo la kuwadhalilisha baadhi ya wasanii.
HABARI NJEMA KWA WATUMIAJI WA IPHONE NA ANDROID NI KUA BBM ITAANZA KUPATIKANA KATIKA ANDROID NA IPHONE

Blackberry wametoa taarifa kwamba wanampango wa kuifanya BBM kutumika katika simu za android na iphone.
TOBAAAAAA!!! USTADHI MBARONI KWA ULAWITI
USTADHI aliyetajwa kwa jina moja la Ahmad (38) anayefundisha Chuo cha Tawfiq kilichopo Kinondoni B, Dar ambaye pia ni mfanyabiashara, anashikiliwa na polisi kwa madai ya kuwalawiti watoto watatu ambao ni wanafunzi wa Shule ya Msingi Msisiri.
UKAHABA WALIGUSA BUNGE
BIASHARA ya ukahaba imeligusa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwani Jumanne iliyopita takribani dakika nane zilitumika kuijadili inavyoshamiri na namna ya kuitokomeza.
RITA ORA ASAINI DILI LA PAUND 500,000
mwanamuziki Rita Ora amesaini dili la paund 500,000 ili kuwa kisura wa nguo za brand ya Madonna "Material Girl", mwanamziki huyo mpaka sasa tayari ameshapiga picha kwa ajili ya kampeni ya nguo hizo ambazo zinaendeswa na Madge na mtoto wake wa kike Lourdes.
IKULU YAKANUSHA KUHUSU RAIS KIKWETE KUONGEZEWA MUDA WA KUKAA MADARAKANI
Mwenyekiti wa Chama cha CUF, Mheshimiwa Profesa Ibrahim Lipumba amekaririwa na Gazeti la Mwananchi la leo, Jumatano, Mei 15, 2013 akisema kuwa “amenasa taarifa za siri za kuwepo kwa mipango ya kuongeza muda wa Serikali ya sasa kukaa madarakani”.
Katika habari hiyo iliyoandikwa chini ya kichwa cha habari,“Lipumba: Kuna njama za kumwongezea JK muda”Mheshimiwa Lipumba anadai kuwa Serikali ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete “ itakaa madarakani hadi mwaka 2017” kwa sababu kuna“wasiwasi kuwa mchakato wa sasa wa kupata Katiba Mpya hautaweza kukamilika mwaka 2014.”
MWANA FA AVUNA MILIONI 18 NDANI YA MIEZI MITATU KWENYE RINGBACK TONE
Kwa mujibu wa Mwana FA mwenyewe ambaye leo ameachia wimbo wake mpya, Kama Zamani, hivi karibuni alipokea malipo ya miezi mitatu kutoka kampuni moja ya kuuza miito ya simu aka RBT yanayofikia shilingi za kitanzania milioni 18.
TIMU TANO KUTOKA AFRIKA MASHARIKI ZAINGIA NUSU FAINALI PAN-AFRICAN GUINNESS FOOTBALL CHALLENGE
Washindi war obo fainali ya 4 timu kutoka Kenya(wenye rangi nyekundu) na timu kutoka Ghana(wenye rangi nyeusi) wakjipongezana baada ya kipindi kuisha
Wednesday, May 15, 2013
BAADA YA KUONDOA MATITI YOTE MAWILI, SASA ANGELINA JOLIE KUONDOA NA KIZAZI
Baada ya kufanya upasuaji wa kuondoa matiti yake yote mawili, Angelina Jolie anapanga kufanya upasuaji wa kuondoa kizazi kwakuwa ana asilimia 50 ya hatari ya kupata kansa iliyochukua maisha ya mama yake.

Muigizaji huyo mwenye miaka 37 alichukua uamuazi huo wa kishujaa uliohusisha mchakato wa miezi mitatu baada kubaini kuwa ana asilimia 87 ya kupata kansa matiti. Na sasa Angelina anasemekana kuwa ameshapanga kufanyiwa upasuaji mwingine kwa kuondolewa ovary zake zote mbili kwakuwa ana uwezekano mkubwa wa kupata kansa ya kizazi.
TOBAAAAAA!!! POLISI 7 WATIWA MBARONI KWA KOSA LA " KUWATIA VIJITI MATAKONI " WATUHUMIWA NA KUSABABISHA VIFO

POLISI saba kutoka wilayani Kasulu, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama Kuu Kanda ya Tabora, iliyoanza kikao chake mjini Kigoma leo na kusomewa mashitaka ya kuua kwa kukusudia.
MAN U WAGEUKA OMBAOMBA!!!

Baada ya kuwa na wiki mbaya ya kuwaaga wapendwa wao kwenye klabu yao Sir Alex Ferguson na Paul Scholes, washabiki wa Manchester United wanaweza wakawa wanamkaribisha kipenzi chao Cristiano Ronaldo - ikiwa wao wenyewe wataweza kupata fedha za kumrudisha kutoka Real Madrid.
MATONYA NAE ALA MSHIKO WA LADY JAY DEE NA KUTOKA NDUKI!!
Tetesi zinaweza kuwa za ukweli au pengine zikawa ni story za kujitungia
Lakini tetesi zinasema kuwa Matonya alipigiwa simu na wazee wa fitna mara tu waliposkia kluwa atashiriki onyesho la miaka 13 ya JayDee, wakamwambia aachane na hiyo show na kuwa watampa hela ambayo angelipwa kwenye show hiyo.
RIPOTI KUHUSU RAISI KIKWETE KUONGEZEWA MUDA WA KUKAA MADARAKANI HADI 2017
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba amedai kuwa amenasa taarifa za siri za kuwapo kwa mipango ya kuongeza muda wa Serikali ya sasa kukaa madarakani.
Rais Jakaya Kikwete
WABUNGE WANUSURIKA KUPEANA MKONG'OTO BUNGENI!!
WABUNGE wa CCM, jana walizua tafrani nje ya Ukumbi wa Bungebaada ya kukasirishwa na kitendo cha mwenzao wa Nkasi Kaskazini, Ali Keisy kupinga Bajeti ya Wizara ya Ujenzi wakati akichangia hotuba ya wizara hiyo.
DR SLAA ATOKA NDUKI BAADA YA KUKUTANA NA NAPE NNAUYE!!
Katika tukio lisilo la kawaida ambapo kituo cha Matangazo cha ITV kiliandaa mjadala wa kujadili hali ya kisiasa nchini na masuala mbalimbali ya kitaifa ambapo kwa busara za watendaji wa ITV waliwaalika wasemaji wakuu wa mjadala huo kuwa Viongozi waandamizi wa Vyama vya Siasa wakianza na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Abdulrahaman Kinana naKatibu Mkuu wa CDM Ndugu Slaa.
RAIS JAKAYA KIKWETE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA DKT.ABDUL RAHMANAL MUHAILAN AMBAYE NI MWENYEKITI WA ASASI YA DIRECT AID CHARITY ORGANISATION
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimsindikiza Dkt.Abdul Rahman Al Muhailan ambaye ni mwenyekiti wa asasi ya Direct AID Charity Organisation baada ya kumaliza mazungumzo nae ikulu jijini Dar es Salaan Jana
Tuesday, May 14, 2013
HAPPY BIRTHDAY MY DARLING IMMACULATE ALOYCE..
Happy Birthday
to the MOST WONDERFUL, AWESOME, BEAUTIFUL, OUTRAGEOUSLY FUNNY, COURAGEOUS and GREAT FRIEND you are...
Have an awesome Birthday kipenzi changuuu..
#MAPENZITELE
Subscribe to:
Posts (Atom)



































